• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko/mrejesho |
Nachingwea District Council
Nachingwea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii Vijana na Ustawi wa Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Uchaguzi
      • TEHAMA
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Ugani
  • Madiwanii
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Ujenzi uchumi na mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari

HUMAN 100, KIFAA CHENYE UWEZO WA KUPIMA WAGONJWA 100 KWA WAKATI MMOJA, SULUHISHO LA FOLENI YA MAABARA HOSPITALI YA NACHINGWEA

Imetumwa : October 8th, 2025


Mganga Mkuu wa Hospitali ya Wilaya ya Nachingwea, Dkt. Ramadhan Mahiga, amesema hospitali imepiga hatua kubwa katika kuboresha huduma za afya kwa wananchi baada ya kununua mashine mpya ya kisasa yenye thamani ya shilingi milioni 40, Amesema ununuzi huo ni sehemu ya mikakati ya hospitali katika kuimarisha miundombinu ya huduma za uchunguzi wa magonjwa na kuongeza ufanisi wa matibabu.


Akizungumza ofisini kwake, Dkt. Mahiga amesema kuwa mashine hiyo ni maalum kwa ajili ya kupima figo, ini na kiwango cha mafuta mwilini ina uwezo wa kupima hadi sampuli 100 kwa saa moja, Teknolojia hiyo mpya itasaidia kwa kiasi kikubwa kupunguza muda wa kusubiri majibu ya vipimo, hivyo kuruhusu wagonjwa kuanza matibabu mapema na kuboresha huduma za afya kwa ujumla.


Dkt. Mahiga ameongeza kuwa uwepo wa mashine hiyo utarahisisha upimaji wa sampuli nyingi zaidi kwa wakati mmoja, hatua ambayo itapunguza msongamano wa wagonjwa maabara na kuongeza ufanisi wa watumishi, Aidha, alisema kuwa hospitali inaendelea kuchukua hatua mbalimbali za kuboresha huduma kwa kushirikiana na Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea na Wizara ya Afya.


Kwa upande wake, Mkuu wa Kitengo cha Kemia katika maabara ya hospitali, Bw. Feisal Munu, ameipongeza Serikali pamoja na Halmashauri ya Wilaya kwa juhudi kubwa wanazofanya katika kuhakikisha hospitali inapata vifaa vya kisasa, Amesema mashine hiyo imeleta mapinduzi makubwa kwani sasa majibu ya vipimo hupatikana ndani ya saa moja pekee, tofauti na ilivyokuwa awali ambapo majibu yalichukua hadi masaa 24 kutokana na uwezo mdogo wa mashine iliyokuwepo.


Bw. Munu amesisitiza kuwa teknolojia hiyo itachangia kuongeza ubora wa huduma za uchunguzi na kutoa majibu sahihi kwa muda mfupi, Pia amewahimiza wananchi wa Nachingwea na maeneo jirani kuendelea kujitokeza kupata huduma katika hospitali hiyo, akisema kuwa uboreshaji huu ni ishara ya dhamira ya Serikali katika kuimarisha huduma bora za afya kwa wote.

Matangazo

  • ORODHA YA WANAOITWA KWENYE MAFUNZO YA ANWANI ZA MAKAZI March 26, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA WATENDAJI WA KIJIJI III NAFASI 16 NA DERAVA DARAJA II NAFASI NNE May 25, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WALIOOMBA AJIRA ZA UTENDAJI WA KIJIJI NA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA YA NACHINGWEA July 22, 2022
  • Tangazo la kazi za muda December 27, 2019
  • Angalia zote

Habari mpya

  • HUMAN 100, KIFAA CHENYE UWEZO WA KUPIMA WAGONJWA 100 KWA WAKATI MMOJA, SULUHISHO LA FOLENI YA MAABARA HOSPITALI YA NACHINGWEA

    October 08, 2025
  • ICU YA ZAIDI YA MIL 600 NA MAPINDUZI YA HUDUMA ZA AFYA NACHINGWEA

    September 29, 2025
  • DED CHIONDA : USAFI NI MAZOEZI, TUFANYE KWA AFYA ZETU NA MAZINGIRA YETU

    September 27, 2025
  • CHIFU WA KABILA LA WAMWERA AONGOZA DUA YA KUOMBEA TAIFA UCHAGUZI WA HURU NA AMANI

    September 18, 2025
  • Angalia zote

Video

Wakulima wasisitizwa kulima mazao ya chakula
Video za mpya

Kurasa za Haraka

  • Opras Form
  • Mkurugenzi wa Halmashauri ya Nachingwea Eng. Chionda Alli Mfaume akizungumza waluu wa idara
  • MRADI WA MAJI NAMIKANGO WAZINDULIWA
  • Mpango wa Bajeti
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2021
  • UANZISHWAJI WA BLOCK FARMING WANANCHI WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA
  • MRADI WA MAJI WA ZAIDI YA BILIONI 1 WAANZA KUTEKELEZWA NAIPANGA
  • Sheria za Fedha za Mitaa
  • Sheria za Halmashauri

Tovuti mashuhuri

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TUZO ZA ELIMU WILAYA YA NACHINGWEA
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Nachingwea District Council. All rights reserved.