• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko/mrejesho |
Nachingwea District Council
Nachingwea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii Vijana na Ustawi wa Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Uchaguzi
      • TEHAMA
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Ugani
  • Madiwanii
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Ujenzi uchumi na mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari

DED CHIONDA AWATAKA WAWEKEZAJI WA MGODINI NDITI KUZINGATIA SHERIA ZA NCHI NA HAKI ZA WANANCHI

Imetumwa : November 18th, 2025

Mkurugenzi Mtendaji wa Halamashauri ya Nachingwea Mhandisi Chionda M. Kawawa amefanya ziara ya kutembelea Mgodi wa Nditi na kukutana na kampuni ya Coast Nickel Industry Ltd inayofanya shughuli za uchimbaji katika Mgodi huo kwa sasa na itakayofanya uwekezaji Mkubwa Mgidini hapo kwa kushirikiana na Shirika la Umma linaloshughulika na uchimbaji, usimamizi, usindikaji na ukuzaji wa sekta ya madini nchini (STAMICO). Ziara hiyo imefanyika leo Novemba 18, 2025.

Katika ziara hiyo Mhandisi Kawawa ameitaka kampuni ya Coast Nickel Industry kufuata sheria za Nchi wakati wa utekelezaji wa kazi zao na pale watakapofanya uwekezaji mkubwa ikiwa ni pamoja na kuhakikisha jamii inanufaika na uwekezaji wao katika mgodi huo, utunzaji wa mazingira, kulipa kodi pia kuzingatia haki za binadamu kwani Wakazi wa Nditu na Nachingwea kwa ujumla wanategemea kuona wanapata maendeleo kupitia uwekezaji wao.

Katika hatua nyingine Mhandisi Kawawa amewasihi wawekezaji hao kuhakikisha fidia za wakazi wa Nditi waliokua wanafanya shughuli za kilimo katika maeneo hayo zinalipwa kwa wakati, kutengeneza mazingira ya ushirikiano kati yao na Halmashauri pamoja na Kata na kijiji pia ametoa agizo kwa Ofisi ya fedha ya Halmashauri ya Nachingwea kuhakikisha inawajengea uwezo Kata na Serikali ya Kijiji juu ya namna ya ukusanyaji wa mapato.

Aidha,  Director wa Kampuni ya Coast Nickel Industry Ltd bwana Peter Ying na Share Holder wa STAMICO, amesema kama wawekezaji miongoni mwa malengo yao ni kuhakikisha uwekezaji Mkubwa unafanyika katika Mgodi huo ambao unatarajiwa kuazalisha zaidi ya tani 40,000 za Nickel kwa mwaka, pia watazingatia taratibj zote za uwekezaji ikiwa ni pamoja na kuajiri wafanyakazi takribani 1,000 ambao wengi wao watakua ni wakazi wa Nachingwea, kulipa ushuru kwa Halmashauri, kuboresha miundombinu ya jamii na kuhakikisha utunzaji wa mazingira unafanyika.

Kwa upande wake mwakilishi wa STAMICO ndugu Ibrahim Dauda ambae ni Mining Manager wa shirika hilo, ameishauri Halmashauri kusimamia ukusanyaji wa Ushuru (Service Levy) kwa karibu na kwa kuzingatia leseni ya usafirishaji ya Mwekezaji ambayo ni ya tani 40,000.

Matangazo

  • ORODHA YA WANAOITWA KWENYE MAFUNZO YA ANWANI ZA MAKAZI March 26, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA WATENDAJI WA KIJIJI III NAFASI 16 NA DERAVA DARAJA II NAFASI NNE May 25, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WALIOOMBA AJIRA ZA UTENDAJI WA KIJIJI NA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA YA NACHINGWEA July 22, 2022
  • Tangazo la kazi za muda December 27, 2019
  • Angalia zote

Habari mpya

  • DED CHIONDA AWATAKA WAWEKEZAJI WA MGODINI NDITI KUZINGATIA SHERIA ZA NCHI NA HAKI ZA WANANCHI

    November 18, 2025
  • DED NACHINGWEA : AWASIHI WAKULIMA WA KOROSHO KUCHANGAMKIA FURSA YA MASHINE ZA UBANGUAJI KOROSHO

    November 13, 2025
  • WASIMAMIZI WA UCHAGUZI WAASWA KUHUSU RUSHWA

    October 27, 2025
  • MSIMAMIZI WA UCHAGUZI : WASIMAMIZI WAPENI KIPAUMBELE WENYE MAHITAJI MAALUMU

    October 26, 2025
  • Angalia zote

Video

Wakulima wasisitizwa kulima mazao ya chakula
Video za mpya

Kurasa za Haraka

  • Opras Form
  • Mkurugenzi wa Halmashauri ya Nachingwea Eng. Chionda Alli Mfaume akizungumza waluu wa idara
  • MRADI WA MAJI NAMIKANGO WAZINDULIWA
  • Mpango wa Bajeti
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2021
  • UANZISHWAJI WA BLOCK FARMING WANANCHI WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA
  • MRADI WA MAJI WA ZAIDI YA BILIONI 1 WAANZA KUTEKELEZWA NAIPANGA
  • Sheria za Fedha za Mitaa
  • Sheria za Halmashauri

Tovuti mashuhuri

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TUZO ZA ELIMU WILAYA YA NACHINGWEA
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Nachingwea District Council. All rights reserved.