• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko/mrejesho |
Nachingwea District Council
Nachingwea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii Vijana na Ustawi wa Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Uchaguzi
      • TEHAMA
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Ugani
  • Madiwanii
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Ujenzi uchumi na mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari

DAS OMARI MWANGA: HELIKOPTA KUTUMIKA KUWAONDOA TEMBO KWENYE MAKAZI YA WANANCHI DESEMBA 1, 2022

Imetumwa : November 28th, 2022

ZOEZI LA KUWAONDOA TEMBO KUANZA DESEMBA 1, 2022 WANANCHI WATAKIWA KUCHUKUA TAHADHARI

Katibu Tawala Wilaya ya Nachingwea Ndugu Omari S. Mwanga akiwa anamwakilisha Mkuu wa wilaya ya Nachingwea Mhe. Hashim A. Komba ameeleza kuanzia Tarehe 1, Desemba 2022 zoezi la kuwaondoa Tembo katika makazi na mashamba ya watu linatarajiwa kuanza rasmi. Katibu Tawala ameyasema hayo leo Novemba 28, 2022 Katika kikao kilichofanyika kata ya kipara kikiwa na viongozi mbalimbali wa ngazi ya kata zote zenye changamoto kubwa ya Tembo kama vile Mkoka, Namapwia, Ngunichile, Mnero Miembeni, Kilimarondo na Mbondo.


Mwanga, ameeleza jitihada za serikali katika kutatua changamoto ya Tembo kwa wananchi ilianza kwa kutoa elimu iliyohusisha  njia mbalimbali za kuwaondoa Tembo katika maeneo ya makazi na mashambani, baadhi ya njia hizo pamoja na njia ya Oil chafu, Njia ya Pilipili, na Nyuki .

Wakati njia hizo zinaendelea kutumika ameeleza kuwa Tanzania Wildlife Management Authority ( TAWA )  kwakushirikiana na Tanzania Wildlife Research Institute ( TAWARI ) waliendelea na uchunguzi wa kubaini mtawanyiko wa Tembo na njia ambayo itatumika  kuwapitisha Tembo wakati wa kuwaswaga au kuwaondoa kuwarudiaha eneo la hifadhi  kwakutumia Helikopta.


Hatua ya kubaini mtawanyiko wa Tembo umeshakamilika hivyo, Desemba 1, 2022 zoezi la kuanza kuwaondoa Tembo litaanza mara moja kwa kutumia Helikopta. Ameeleza Katibu Tawala Omari S. Mwanga.


Aidha, katibu wala, ametumia fursa hiyo  kuwasihii viongozi wa ngazi ya kata zote kwenda kutoa Taarifa  kwa wananchi juu ya kuanza kwa zoezi hilo ambalo linafanyika Kati ya siku 5 Hadi 7 hivyo wananchi wanapaswa kuepuka  matembezi yasiyo na ulazima hasa nyakati za usiku na kuwa watulivu wakati Helikopta itakavyokuwa inazunguka . Kufanikisha zoezi hilo linahitaji ushirikiano kutoka kwa wananchi .


Zoezi hilo linatarajiwa kuanza kata ya Mkoka na kufuata kata zingine Kama vile Mnero Ngongo, Namapwia Nditi, Ngunichile kuelekea upande wa hifadhi ya Selous .

Matangazo

  • ORODHA YA WANAOITWA KWENYE MAFUNZO YA ANWANI ZA MAKAZI March 26, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA WATENDAJI WA KIJIJI III NAFASI 16 NA DERAVA DARAJA II NAFASI NNE May 25, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WALIOOMBA AJIRA ZA UTENDAJI WA KIJIJI NA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA YA NACHINGWEA July 22, 2022
  • Tangazo la kazi za muda December 27, 2019
  • Angalia zote

Habari mpya

  • NACHINGWEA YAPATA ZAIDI YA MIFUKO 59,000 YA SALFA NA LITA 75,000 ZA VIUATILIFU MGAO WA MSIMU 2025

    June 06, 2025
  • MKAKATI WA UJENZI WA KITUO CHA AFYA RUPONDA WAANZA

    June 05, 2025
  • BILIONI 2.8 ZABORESHA MIUNDOMBINU YA ELIMU NACHIGWEA

    June 04, 2025
  • WAZAZI WAMETAKIWA KUWEKEZA NGUVU SAWA KATIKA MALEZI YA WATOTO WA KIKE NA KIUME

    June 04, 2025
  • Angalia zote

Video

Wakulima wasisitizwa kulima mazao ya chakula
Video za mpya

Kurasa za Haraka

  • Opras Form
  • Mkurugenzi wa Halmashauri ya Nachingwea Eng. Chionda Alli Mfaume akizungumza waluu wa idara
  • MRADI WA MAJI NAMIKANGO WAZINDULIWA
  • Mpango wa Bajeti
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2021
  • UANZISHWAJI WA BLOCK FARMING WANANCHI WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA
  • MRADI WA MAJI WA ZAIDI YA BILIONI 1 WAANZA KUTEKELEZWA NAIPANGA
  • Sheria za Fedha za Mitaa
  • Sheria za Halmashauri

Tovuti mashuhuri

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TUZO ZA ELIMU WILAYA YA NACHINGWEA
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Nachingwea District Council. All rights reserved.