• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko/mrejesho |
Nachingwea District Council
Nachingwea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii Vijana na Ustawi wa Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Uchaguzi
      • TEHAMA
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Ugani
  • Madiwanii
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Ujenzi uchumi na mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari

BARAZA LAPITIA TAARIFA ZA UFUNGAJI WA HESABU ZA HALMASHAURI KWA MWAKA ULIOISHIA JUNI 30, 2023

Imetumwa : August 29th, 2023

Baraza la waheshimiwa madiwani wa Halmashauri ya Nachingwea lapitia taarifa ya ufungaji wa hesabu za Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea kwa mwaka wa fedha ulioishia 30 Juni 2023. Waheshimiwa madiwani wakiongozwa na mwenyekiti wake Mhe. Adinani Mpyagila sambamba na Katibu wake kaimu Mkurugenzi Ndugu Lington Nzunda wakiongoza kikao hicho Cha kisheria kwa mujibu wa kifungu Na 43 Cha sheria ya fedha za serikali za mitaa sura 290 (The Local Government Finance Act ), agizo katika kanuni za fedha za serikali za Mitaa Na 31 (The Local Authority Financial Memorandum of 2009 ) pamoja na vifungu vyake zinaelekeza Halmashauri zote kuandaa taarifa ya fedha za mwisho wa mwaka (Annual Statements ) na kuziwasilisha kwa mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali kabla au ifikapo Tarehe 30 Septemba ya kila mwaka .Hivyo kwa kuzingatia utaratibu huo Baraza limepitia taarifa kuu tatu zinazojumuishwa kwenye taarifa za hesabu za mwisho wa mwaka ambazo kisheria na kikanuni zinatakiwa ziidhinishwe kabla ya kukaguliwa na CAG ambazo ni 

Mizani (Statement of financial Position ) ambapo inaonesha Mali zinazomilikiwa na Halmashauri pamoja na madeni inayodaiwa hadi kufikia 30 Juni 2023 . Hadi kufika Juni 30, 2023 Halmashauri ilikuwa na Mali zenye thamani ya Sh Bilioni 55.718, 

Kwa upande wa Taarifa ya Mapato na Matumizi (Statement of financial Performance ) hadi kufikia Juni 30, 2023 Halmashauri ilipokea  jumla ya Tzs Bilioni 35.702 kutoka katika vyanzo mbalimbali ambapo mapato yameongezeka kwa TZS Bilioni 3.459 na upande wa matumizi  halmashauri ilitumia jumla Sh Bilioni 29.317 hadi kufikia Tarehe 30 Juni 2023 .Na Taarifa ya Mtiririko wa fedha Taslimu ( Cash Flow Statement ) . 

Hii inaonesha mwenendo wa mapokezi ya fedha Taslimu kwa mwaka mzima kutoka katika vyanzo mbalimbali ambapo Jumla ya TZS Bilioni 35. 542 zilionekana kupokelewa ambapo Bilioni 29.546 zilitumika katika shughuli za kawaida na kiasi Cha TZS  Bilioni 1.913 zilitumika katika shughuli za uwekezaji . Mwisho wa mwaka wa fedha Halmashauri ilibakiwa na jumla ya fedha TZS Bilioni 4.083 kwenye akaunti mbalimbali .Waheshimiwa baada ya kupitia taarifa hizo wameridhishwa na kupongeza kwa matumizi sahihi.

#tukovizuri

Matangazo

  • ORODHA YA WANAOITWA KWENYE MAFUNZO YA ANWANI ZA MAKAZI March 26, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA WATENDAJI WA KIJIJI III NAFASI 16 NA DERAVA DARAJA II NAFASI NNE May 25, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WALIOOMBA AJIRA ZA UTENDAJI WA KIJIJI NA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA YA NACHINGWEA July 22, 2022
  • Tangazo la kazi za muda December 27, 2019
  • Angalia zote

Habari mpya

  • WANAFUNZI WA NACHINGWEA HIGH NA RUGWA BOYS WAAGWA KWA HAFLA FUPI, WAJIANDAA KWA MITIHANI YA TAIFA

    April 26, 2025
  • SDA NA LIIKE WATOA MAFUNZO YA HUDUMA YA KWANZA KWA MANGALIBA NA WALOMBO KWA AJILI YA KUIMARISHA UTAMADUNI SALAMA

    April 28, 2025
  • DED NACHINGWEA : AAGIZA MIRADI KUKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA KUZINGATIA VIWANGO

    April 09, 2025
  • RC LINDI : MIRADI YOTE ITAKAYOPITIWA NA MWENGE IZINGATIE MATUMIZI BORA YA FEDHA

    April 05, 2025
  • Angalia zote

Video

Wakulima wasisitizwa kulima mazao ya chakula
Video za mpya

Kurasa za Haraka

  • Opras Form
  • Mkurugenzi wa Halmashauri ya Nachingwea Eng. Chionda Alli Mfaume akizungumza waluu wa idara
  • MRADI WA MAJI NAMIKANGO WAZINDULIWA
  • Mpango wa Bajeti
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2021
  • UANZISHWAJI WA BLOCK FARMING WANANCHI WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA
  • MRADI WA MAJI WA ZAIDI YA BILIONI 1 WAANZA KUTEKELEZWA NAIPANGA
  • Sheria za Fedha za Mitaa
  • Sheria za Halmashauri

Tovuti mashuhuri

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TUZO ZA ELIMU WILAYA YA NACHINGWEA
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Nachingwea District Council. All rights reserved.