• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua za Watumishi |
    • Malalamiko/mrejesho |
Nachingwea District Council
Nachingwea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii Vijana na Ustawi wa Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Uchaguzi
      • TEHAMA
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Ugani
  • Madiwanii
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Mipango na Fedha
      • Ujenzi uchumi na mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari

AKINA BABA NACHINGWEA WAMETAKIWA KUTOA USHIRIKIANO KWA AKINA MAMA WANAONYONYESHA

Imetumwa : August 7th, 2025

Akina mama wilayani Nachingwea wameonyesha furaha na kuthamini mafunzo waliyopata kuhusu unyonyeshaji wa maziwa ya mama kwa mtoto katika kilele cha Maadhimisho ya Wiki ya Unyonyeshaji Duniani yaliyofanyika leo Agosti, 7 2025, katika ukumbi wa Hospitali ya Wilaya ya Nachingwea.

Katika maadhimisho hayo, ambayo hufanyika kila mwaka kati ya tarehe 1 hadi 7 Agosti duniani kote, washiriki wamepata elimu ya kina kuhusu mbinu sahihi za unyonyeshaji, umuhimu wa maziwa ya mama kwa mtoto katika miezi sita ya mwanzo bila kuongeza chakula kingine, pamoja na njia bora za kuandaa lishe endelevu kwa watoto waliofikia miezi sita na kuendelea,

Akizungumza katika hafla hiyo, Irene Benjamin ambae ni Afisa lishe wa Halmashauri ya wilaya nachingwea, amesema kuwa elimu inayotolewa inalenga kuhakikisha akina mama wanakuwa na uelewa sahihi wa afya ya mtoto, hususan katika hatua za awali za malezi ya mtoto 

Aidha, akina mama walioudhuria maadhimisho hayo wanaishukuru serikali kwa kuandaa siku maalum za kuelimisha jamii juu ya masuala ya lishe na unyonyeshaji, kupitia elimu hiyo wameweza kujifunza namna kina baba wanavyoweza kuwasaidia kulea watoto kwa njia bora,

Maadhimisho ya Wiki ya Unyonyeshaji Duniani hutoa fursa kwa jamii kupata elimu kutoka kwa wataalamu wa afya kuhusu umuhimu wa maziwa ya mama, huku maafisa lishe wakisisitiza jukumu la kina Baba kuwasapoti wake zao katika suala zima la kulea watoto kwa pamoja.

Matangazo

  • ORODHA YA WANAOITWA KWENYE MAFUNZO YA ANWANI ZA MAKAZI March 26, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA WATENDAJI WA KIJIJI III NAFASI 16 NA DERAVA DARAJA II NAFASI NNE May 25, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WALIOOMBA AJIRA ZA UTENDAJI WA KIJIJI NA UDEREVA HALMASHAURI YA WILAYA YA NACHINGWEA July 22, 2022
  • Tangazo la kazi za muda December 27, 2019
  • Angalia zote

Habari mpya

  • DC MOYO NA DC MLINGA WAUFUNGA MGODI WA KAIYUEKWA UKIUKWAJI WA SHERIA

    August 07, 2025
  • NAIBU KATIBU MKUU WIZARA YA MIFUGO NA UVUVI ATEMBELEA BANDA LA NACHINGWEA KATIKA MAONESHO YA NANENANE NGONGO

    August 07, 2025
  • MIFUGO LAKI 3 YATARAJIWA KUFIKIWA NA KUCHANJWA MIKOAYA LINDI NA MTWARA

    August 08, 2025
  • WATANZANIA WAHIMIZWA KULA NA KUNYWA KOROSHO KWA AFYA.

    August 08, 2025
  • Angalia zote

Video

Wakulima wasisitizwa kulima mazao ya chakula
Video za mpya

Kurasa za Haraka

  • Opras Form
  • Mkurugenzi wa Halmashauri ya Nachingwea Eng. Chionda Alli Mfaume akizungumza waluu wa idara
  • MRADI WA MAJI NAMIKANGO WAZINDULIWA
  • Mpango wa Bajeti
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2021
  • UANZISHWAJI WA BLOCK FARMING WANANCHI WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA
  • MRADI WA MAJI WA ZAIDI YA BILIONI 1 WAANZA KUTEKELEZWA NAIPANGA
  • Sheria za Fedha za Mitaa
  • Sheria za Halmashauri

Tovuti mashuhuri

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TUZO ZA ELIMU WILAYA YA NACHINGWEA
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Nachingwea District Council. All rights reserved.